Wananchi epukeni uhasama uchaguzi umekwisha- Mpoto

Msanii Mrisho Mpoto alipokuwa akishiriki kipindi cha Supa Mix kinachorushwa na East Afrika Radio.

Msanii wa muziki wa dansi, sanaa ya jukwaani (theatre performances), mwandishi wa vitabu vya mashairi na hadithi zenye mafunzo,amewataka watanzania kuepuka uhasama kwani uchaguzi umealizika na kinachotakiwa ni wao kujikita kwenye shughuli za ujenzi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS