Wanafunzi wawili shule ya Blessing watekwa Mwanza

Wanafunzi wawili wa kike wanaokadiliwa kuwa na umri wa miaka kati ya 6 hadi 8 wanaosoma katika shule ya msingi bressing modern iliyopo Nyasaka, Wilayani ilemela Mkoani Mwanza wametekwa na watu wasiojulikana baada ya kuvamia gari la shule hiyo katika eneo la capripoint jijini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS