Gari lenye mirungi lapata ajali, mmoja afariki Mirungi iliyokutwa ndani ya gari Mtu mmoja amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akisafiria kupata ajali kwa kupinduka baada ya dereva wake kuendesha kwa mwendokasi akiwahisha dawa za kulevya aina ya mirungi kwa wateja. Read more about Gari lenye mirungi lapata ajali, mmoja afariki