Mbunge wa Monduli akana Lowasa kumiliki Shamba

Mbunge wa Monduli Julius Laizer Kalanga (Chadema) akiwa na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa.

Mbunge wa Monduli Julius Laizer Kalanga (Chadema), amesema kuwa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa hana hati miliki ya shamba lolote katika jimbo hilo bali ni upotoshaji wa taarifa alizopewa Waziri wa Ardhi,Wiliam Lukuvi na wasaidizi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS