Dar yazizima Yanga ikirejea, Dida habari ya mjini

Mashabiki wa Yanga 'wakimgombania' kipa wa timu yao, Deo Munishi 'Dida' wakati timu ilipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania bara, Yanga ambao kikosi chao kimewatoa kimasomaso Watanzania kwa kufuzu kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika CAF wakiwatoa Sagrada Esperanca ya Angola, wamerejea nchini alasiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS