Wananchi watakiwa kushiriki uchangiaji elimu

Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt. James Mataragio, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Bi. Halima Dendego na Mbunge wa Mtwara Vijijini. Mhe. Hawa Ghasia.

Wananchi wa kata ya Madimba, halmashauri ya wilaya ya Mtwara, wametakiwa kushiriki kikamilifu zoezi la kufyatua Matofali lililolenga kutatua changamoto mbalimbali za miundombinu ya elimu zikiwamo nyumba za walimu na vyumba vya madarasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS