Dar wenyeji riadha taifa kurindima rasmi Juni 3-4

Baadhi ya wanaridha wakichuana katika moja ya mashindano ya taifa.

Baada ya kuanda michuano ya vijana Afrika Mashariki uongozi wa Riadha Tanzania (RT) umesema jiji la Dar es Salaam litakuwa mwenyeji kwa mara nyingine wa mashindano makubwa ya riadha lakini safari hii ni ya taifa yatakayoshirikisha mikoa yote nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS