Sare na Marekani yampa jeuri Shime mbele ya India.

Viongozi wa benchi la ufundi la Serengeti Boys Bakari Shime kocha mkuu [kulia], na Kim Palsen [kushoto] wakiwa na kiongozi wa TFF Baraka Kizuguto ][katikati]

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys, Bakari Shime amesema hana wasiwasi kesho atakapowavaa India ambao wenyeji wa michuano maalumu ya soka ya Kimataifa kwa Vijana (AIFF Youth Cup 2016 U-16).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS