Kipindupindu cha dumu kwa miezi 7 nchini

Ugonjwa wa Kipindupindu umeendelea kupoteza uhai wa watanzania kwa muda wa miezi 7 sasa bila kudhibitiwa ambapo kwa mwezi huu idadi ya waathirika wapya wa ugonjwa huo wamefikia watu 212 kwa nchi nzima, tayari watu 338 wamepoteza maisha tangu mlipuko.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS