Timu tano hatihati kurejea FDL kuwafuata Coastal

Kikosi cha Wagosi wa Kaya Coastal Union ya Tanga ambacho kimeshashuka daraja kwenda daraja la kwanza FDL.

Wakati wadau wakijua wazi kuwa Coastal Union ya Tanga tayari imeaga rasmi Ligi Kuu ya soka Tanzania bara msimu wa 2015/16, swali linabaki kwao kwamba ni timu gani itaungana na Wagosi wa Kaya kushuka daraja kutokana na timu tano kuwa katika hatari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS