Waajiri hakikisheni wafanyakazi wapo kwenye vyama
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde amesema suala la wafanyakazi kuwa na vyama vya wafakazi kwenye taasisi wanazofanya kazi ni jambo la kikatiba na nilazima waajiri wazingatie hilo.