Chelsea yawapa tuzo wachezaji wake, Terry abaki
Pamoja na kuonekana kuwa na msimu mbaya sana mwaka huu ikiwa chini ya kocha Mreno Jose Mourinho na kuokolewa na kocha wa muda Guuz Hiddink matajiri wa London, Chelsea jana usiku walifanya yao baada ya kuwatuza wachezaji walifanya vema msimu huu.