Simba kumwadhibu mtoro Ajib aliye Afrika Kusini.

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib [wa mbele] akishangilia moja ya magoli yake akiwa Simba.

Uongozi wa klabu ya soka ya Simba umesema kamwe hautalifumbia macho sakata la mshambuliaji wa timu hiyo Ibrahim Ajib aliyetimkia nchini Afrika Kusini na kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa kinyemela bila ruhusa ya klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS