Farid Musa awaletea Azam fc Makocha Wakihispania.

Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba (kulia) akiwa na mmoja wa makocha waliowasili leo kutoka Hispania, Zebensul Hernandez Rodriguez.

Kufanya vema kwa mashambuliaji kinda wa timu ya Azam FC Farid Musa ambaye anafanya majaribio nchini Hispania imekuwa kama neema ama imefungua milango kwa Azam fc kupata makocha kirahisi kutoka nchini humo ambao wametua rasmi hii leo kukamilisha dili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS