Dkt. Magufuli: Ujenzi wa bomba la mafuta kuanza

Rais wa Uganda,Yoweri Museveni akisalmia na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika sherehe za kuapishwa kuwa raisa wa Uganda hapo jana nchini Humo.

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mazungumzio na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kuhusu kuanza kwa ujenzi wa bomba la mafuta Kutoka jijini Tanga mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa muhula mwingine .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS