Simba yafufukia Moro,Sports ikichungulia kaburi TA

Nahodha wa Simba Musa Hassan 'Mgosi' [kushoto] akijaribu kumtoka beki wa Mtibwa Sugar.

Klabu ya soka ya Simba imefufukia katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro baada ya kuwaduwaza wenyeji wao Mtibwa Sugar katika mchezo muhimu kabisa kwa timu hiyo ambayo sasa inasaka nafasi ya pili ili kujizolea milioni 40 za kutwaa nafasi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS