Mashali amtwanga Muiran na kutwaa mkanda wa UBO

Afisa Michezo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Adolf Halii akimvisha mkanda wa UBO Bondia Thomas Mashali kwa niaba ya mkuu wa mkoa.

Kwa mara nyingine mchezo wa masumbwi ya kulipwa nchini umeendelea kuwa nembo ya kuing'arisha nchi katika medani ya Kimataifa mara baada ya jana usiku Mtanzania kutamba mbele ya Muiran na kutwaa mkanda wa dunia wa UBO uzito wa kati kilo 76.4.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS