Simba yafufukia Moro,Sports ikichungulia kaburi TA
Klabu ya soka ya Simba imefufukia katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro baada ya kuwaduwaza wenyeji wao Mtibwa Sugar katika mchezo muhimu kabisa kwa timu hiyo ambayo sasa inasaka nafasi ya pili ili kujizolea milioni 40 za kutwaa nafasi hiyo.