GPA ilibadilishwa kwa maoni ya wadau- Ndalichako
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Joyce Ndalichako amesema mfumo uliotumika kusahihisha matokeo ya sekondari hapa nchini ulikubalika baada ya maonii ya wadau wa elimu kuridhika kwamba ungeleta tija.