Mwijage aamuru kiwanda cha ngozi kufunguliwa

Waziri wa Viwanda na Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage.

Waziri wa Viwanda na Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage, ameutaka umoja wa wanunuzi na uboreshaji ngozi, nchini (WANGOTA), kukaa meza moja na wamiliki wa viwanda ili kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili sekta hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS