TRA yaiachia sukari iliyokuwa inashikiliwa Mbagala

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Huduma kwa Mlipakodi wa TRA Bw. Richard Kayombo

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imeachilia tani elfu 6,757 za sukari iliyokutwa kwenye maghala ya forodha huko Mbagala nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam iliingizwa nchini kihalali kwa kufuata taratibu zote za uingizaji sukari nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS