Waziri Mkuu kuondoka leo kwenda London

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa anatarajiwa kuondoka nchini leo jioni kwenda London.

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa anatarajiwa kuondoka nchini leo jioni kwenda London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi unaojadili suala la kupambana na rushwa (Anti-Corruption Summit 2016) utakaofanyika Mei 12, mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS