Serikali kuvuna bilioni 24 kupitia bahati nasibu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Bw. Abbas Tarimba Serikali ya Tanzania itarajie kupata mapato ya shilingi bilioni 24 yatakayokusanywa kama kodi kutokanana bahati nasibu ya taifa itakayoanza hivi karibuni. Read more about Serikali kuvuna bilioni 24 kupitia bahati nasibu