Serikali yaanzisha program ya kuwakomboa vijana

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Walemavu, Antony Mavunde

Serikali imesema kupitia wadau mbalimbali wameanzisha programu maalum ya kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi kwa kuweza kuwasaidia kupata fursa ya mitaji na mikopo ili kufanya shughuli mbalimbali za kujiingizia kipato.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS