Washiriki DSE Scholar Challenge wazidi kuongezeka

Meneja Miradi na Biashara wa Soko la Hisa la Dar es Salaam Bw. Patrick Mususa

Idadi ya wanafunzi wanaoshiriki shindano linalolenga kuongeza uelewa wa uwekezaji katika masoko ya mitaji na dhamana nchini imekuwa ikiongezea kwa kasi ambapo hadi sasa jumla ya wanafunzi 3,160 wameajiandikisha kushiriki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS