Ole wao watakao waozesha wanafunzi - Manyanya
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Technolojia na Ufundi Injinia Stella Manyanya amesema kwamba wananchi wote watakao waozesha wanafunzi serikali ya awamu ya tano itawachukulia hatua kali za kisheria mara moja.