Vilabu 10 kuwania ubingwa Ligi ya Kikapu Taifa NBL

Moja ya timu shiriki katika ligi ya mpira kikapu taifa NBL ikikaguliwa kabla ya mchezo.

Vilabu 10 kutoka mikoa tofauti ya Tanzania vimeanza mbio za kuwania ubingwa wa Ligi ya Klabu Bingwa ya Taifa ambayo imeanza hii leo jijini Dar es Salaam katika viwanja vya ndani vya taifa na ABC vyote vya Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS