Vilabu 10 kuwania ubingwa Ligi ya Kikapu Taifa NBL
Vilabu 10 kutoka mikoa tofauti ya Tanzania vimeanza mbio za kuwania ubingwa wa Ligi ya Klabu Bingwa ya Taifa ambayo imeanza hii leo jijini Dar es Salaam katika viwanja vya ndani vya taifa na ABC vyote vya Dar es Salaam.