Mbeya City yadai pia pointi za Coastal Union

Mussa Mapunda

Klabu ya Mbeya City imeishukuru TFF kwa kuipa pointi 3 kutoka kwa Azam FC, lakini bado imedai kupewa ushindi katika mchezo wao dhidi ya Coastal Union kutokana na vurugu zilizotokea katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS