Tatizo la ubakaji na ulawiti lipo pabaya-Mwakyembe
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Harrison Mwakyembe, amesema kuwa tatizo la ubakaji na ulawiti nchini Tanzania limefikia pabaya baada ya takwimu kuonyesha kuwa kwa kipindi miaka mitatu mfululizo kuna matukio 19 ya ubakaji na ulawiti nchini kila siku.