Serikali kutoa taarifa vifo vitokanavyo na uzazi
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema inakusudia kutoa taarifa ya wanawake wanaofariki Dunia kutokana na matatizo ya uzazi kila baada ya miezi mitatu ili kukabiliana na tatizo la vifo vya wanawake nchini.