Farid afaulu majaribio Deportivo Tenerife

Winga wa Kimataifa wa Tanzania Farid Mussa Malik

Winga wa kimataifa wa Tanzania Farid Mussa Malik wa klabu ya Azam FC amefaulu majaribio katika klabu ya Deportivo Tenerife ya Ligi Daraja la Kwanza nchini Hispania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS