Farid afaulu majaribio Deportivo Tenerife Winga wa Kimataifa wa Tanzania Farid Mussa Malik Winga wa kimataifa wa Tanzania Farid Mussa Malik wa klabu ya Azam FC amefaulu majaribio katika klabu ya Deportivo Tenerife ya Ligi Daraja la Kwanza nchini Hispania. Read more about Farid afaulu majaribio Deportivo Tenerife