RC Arusha amtumbua mhandisi wa wilaya ya Meru

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Daud Ntibenda

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Daud Ntibenda amemsimamisha kazi Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Peter Mikimba, kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS