Wanaofanya sanaa bunifu waomba kutambuliwa
Mwalimu wa Idara ya Sanaa Bunifu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Safina Kimbokota amesema kuwa wasanii wa sanaa banifu wanatoa mchango mkubwa sana kwenye jamii na kuitangaza nchi ya Tanzania kimataifa hivyo ni jukumu la nchi kuwathamini.