Aliechinja mke na mtoto akamatwa Bagamoyo

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Boniveture Mushongi.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Frowin Peter Mbwale, Mkazi wa Kawe jijini Dar es Salaam, kwa tuhuma za mauaji ya mke wake pamoja na mtoto wao ambao walikutwa wamuawa kwa kuchinjwa shingoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS