Nili 'dis' ili kuwaamsha 'Team Kiba' - Abdul Kiba msanii wa Bongo fleva Abdu Kiba Baada ya msanii Abdul Kiba mdogo wa Ali Kiba kuwadisi mashabiki wa kaka yake, sasa ameamua kufunguka kuwa alikuwa anawaamsha tu ili waendelee kumsapoti kaka yake. Read more about Nili 'dis' ili kuwaamsha 'Team Kiba' - Abdul Kiba