Maelfu wajitokeza kumzika Papa Wemba Mwanamuziki Papa Wemba aliyefariki wiki iliyopita nchini Ivory Coast amefanyiwa ibada ya mazishi katika kanisa la kanisa kuu la Notre Dame Kinshasa ili kuweza kuhifadhiwa katika nyumba yake ya milele leo. Read more about Maelfu wajitokeza kumzika Papa Wemba