Muuguzi adaiwa kumtandika kibao mjamzito- Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amos Makala ametoa muda wa siku 7 kwa Mkurugenzi Hospitali ya Rufaa Mbeya, Dk. Goodlove Mbwanji, kufanya uchunguzi na kutoa ripoti kuhusu muuguzi kumpiga mama aliyekuwa akijifungua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS