Yanga yazidi kupaa mbio za ubingwa ligi kuu bara.

Washambuliaji wa kimataifa wa Yanga Mzimbabwe, Donald Ngoma kulia na Amissi Tambwe wa Burundi kushoto.

Yanga imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kuafutia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United jioni ya leo Uwanja wa Kambarage, Shinyanga ukiwa ni moja ya michezo yake minne iliyobakia katika mbio za kuwania utetezi wa kombe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS