Serikali kufunga vifaa tiba hospitali za rufaa

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu.

Serikali imesema itafunga vifaa tiba katika hospitali zote za rufaa nchini zikiwemo mashine za CT-Scan na X-ray ili kuwaondolea adha wananchi wa mikoani kutumia gharama kubwa kutafuta huduma hizo katika hospitali binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS