Wafanyakazi hewa wananifanya nijute-Dkt.Magufuli

Rais wa Jamhuri wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli amewataka wafanyakazi kuunga mkono juhudi za kuwafichua wanaozalisha wafanyakazi hewa, huku akibainisha kuwa mpaka kufikia jana jumla ya wafanyakazi hewa waliobainika walikuwa 10,293 ambao kwa mwezi mmoja tu wamelipwa sh bilioni 11

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS