Prof. Ndalichako atoa onyo kwa wasimamizi wa elimu

Waziri wa Elimu,Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako, amewatahadharisha kuwawajibisha maafisa elimu wa shule za msingi watakaoshindwa kusimamia elimu na kusababisha wanafunzi wamalize shule za msingi bila kujua kusoma na kuandika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS