Ashambuliwa mpaka umauti na tembo wanne Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Mbeshi Mliambelele mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa kijiji cha Mfinga, Wilaya ya Sumbawanga Mkoani Rukwa, amefariki Dunia baada ya kushambuliwa na Tembo wanne. Read more about Ashambuliwa mpaka umauti na tembo wanne