CHADEMA MSISUSIE UCHAGUZI; LHRC
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimetoa wito kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kushiriki kwenye uchaguzi mkuu wa nchi hiyo hata kama madai yao ya Katiba mpya na mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi hayatofanyiwa kazi na serikali