Agizo la Trump ni kiama:Tibaijuka
Kupitia mtandao wa X Mbunge na Waziri wa zamani wa Ardhi, Prof. Anna Tibaijuka amesema uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kusitisha misaada kwa mashirika ya afya duniani kama GLOBAL FUND iwapo yatatekelezwa ni kiama.