CHADEMA yalalamikia kukamatwa kwa makada wao Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelalamikia kukamatwa kwa baadhi ya wabunge na madiwani wao wa jiji la Dar es salaam na kusema kuwa kitendo hicho ni hujuma zinazofanywa na watawala. Read more about CHADEMA yalalamikia kukamatwa kwa makada wao