Mkurugenzi wa Mamlaka ya usimamizi wa Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngalamgosi
Shirika la Ugavi wa Umeme nchini Tanzania (TANESCO),limewasilisha ombi la kutaka mabadiliko ya bei za Umeme kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Huduma ya Nishati na Maji (Ewura).