MWENYEKITI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananachi (UKAWA), Freeman Mbowe
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimesema vinaelekea kuishiwa uvumilivu wa kisiasa kutokana na kupuuzwa kwa maamuzi ya wananchi mara kwa mara ikiwemo kwenye chaguzic mbalimbali.