UNDP kutekeleza maendeleo Tanzania kupitia vijana

Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon Manyama

Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP, nchini Tanzania limesema kuwa linakusudia kutekeleza miradi ya maendeleo kupitia vijana ili kufanikisha utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu SDGs.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS