Simba kumchukulia hatua Muro kama TFF watanyamaza

Wakuu wa Idara za Mawasiliano, Jerry Muro wa Yanga SC (kushoto) na Hajji Manara wa Simba SC (kulia) wakiwa pamoja

Klabu ya Simba kupitia kwa msemaji wake Haji Manara amesema iwapo Shirikisho la Soka nchini TFF litaendelea kufumbia macho kauli za kejeli, dharau, matusi na kashfa zitolewazo na mkuu wa habari wa klabu ya Yanga kutawafanya wao wachukue hatua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS