Tanzania yagundua uwepo wa Gesi eneo la Ruvu Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini nchini Tanzania,Badra Masoud Tanzania imegundua takribani futi za ujazo trilioni 2.17 za gesi katika eneo la Ruvu lililoko katika mkoa wa Pwani kilomita chache kutoka mji mkuu wa biashara-Dar es salaam. Read more about Tanzania yagundua uwepo wa Gesi eneo la Ruvu