Wanawake wafugaji waanza kupewa hatimiliki ardhi

Naibu waziri wa kilimo,mifugo na uvuvi William Ole Nasha

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania wanawake 100 kutoka jamii ya wafugaji wa kabila la wamaasai wakazi wa kijiji cha Engaresero wilayani Ngorongoro wamepatiwa hati za kimila za umiliki wa ardhi zinazowapa haki ya kumiliki ardhi kisheria

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS