Uganda kumalizia uchaguzi leo, UM yaishutumu

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uzalishaji na Biashara wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki (MEAC), Dk. Abdallah Makame ambae pia ni Mwangalizi wa Uchaguzi nchini Uganda

Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imeshutumu serikali ya Uganda kwa kufunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi kwa madai ya kuimarisha usalama wa taifa huku mtu mmoja akiripotiwa kufariki dunia kwenye ghasia zinazohusiana na uchaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS