Matokeo ya Europa League usiku wa kuamkia leo Europa League 2016 Timu za England Man United, Liverpool na Tottenham zimeshindwa kutamba katika michuano ya Europa hatua ya 32 bora baada ya kushindwa kupata ushindi katika michezo yao, ambapo zote zilikuwa ugenini. Read more about Matokeo ya Europa League usiku wa kuamkia leo